FAHAMU UWEZA NA NGUVU YA JINA LA YESU...KIKO MTAANI SASA, PATA NAKALA YAKO NA UMSOMESHE MTOTO...Do it, it is your task!
Bwana
Yesu asifiwe wapendwa.Namshukuru Mungu kwa wingi wa Neema yake, na
rehema zake ambazo ni mpya kila iitwapo leo. Leo tar 18/04 nimefanikiwa
kupata vile vitabu vya 'FAHAMU UWEZA NA NGUVU YA JINA LA YESU; JINA MOJA
FUNGUO 3 TOFAUTI' Na ninazo nakala 500
na kila nakala ni sh 3000 kwa wanafunzi na sh 4000 kwa raia wa kawaida
kama mimi. Hela yote itakayopatikana (ukiondoa gharama za uchapaji)
itatumika kuanzisha mfuko wa ELIMU wa Wanafunzi wa Kikristo walio katika
mazingira Magumu na wale walio yatima ulio chini ya ASSOCIATION OF BORN
AGAIN CHRISTIANS with IMPACT (ABACT with IMPACT). Ukinunua kitabu hiki
utapata UJUMBE ULIOMO lakini pia utakuwa PARTNER wangu na kwa pamoja
tutayagusa maisha ya hao watoto na kuujenga ufalme wa Mungu. Japo
sikuzuii kuchangia zaidi ya hela ya kitabu, kama una uhuru na
hilo...hauninui bidhaa, bali unatoa sadaka na kuueneza ufalme wa Mungu.
Kama umeelewa na uko serious na unahitaji nakala tuwasiliane kwa simu na
si vinginevyo, TAFADHALI ZINGATIA HILO MPENDWA. Namba yangu ni 0655 466
675 au 0753 466 675.
·
No comments:
Post a Comment